Balozi
wa Finland nchini Bw. Pekka Hukka akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa alipomtembelea ofisini kwake
jijini Dar es Salaam.
|
Ujumbe
kutoka Finland ukimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa wakati ulipomtembelea ofisini kwake kujadili fursa mbalimbali za
Sekta ya Miundombinu.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni