Alhamisi, 17 Novemba 2016

WAZIRI MBARAWA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI NA UJUMBE KUTOKA UBELGIJI

Balozi wa Uturuki nchini, Bi Yasemin Eralp, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akizungumza na Balozi wa Ujerumani nchini Bi Yasemin Eralp (katikati), alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akiongea na ujumbe kutoka Ubelgiji kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya miundombinu jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi Msaidizi wa Tathmini na Ufuatiliaji kutoka Sekta ya Uchukuzi, Aunyisa Meena, akifafanua jambo kwa Ujumbe wa Ubelgiji kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya miundombinu.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akisisitiza jambo kwa Ujumbe wa Ubelgiji na watendaji wa Wizara yake kuhusu fursa za uwekezaji katika sekta ya miundombinu.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni