Alhamisi, 25 Agosti 2016

NAIBU WAZIRI ENG. NGONYANI AFUNGUA WARSHA YA WATAALAMU WA ICT

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Mhe. Edwin Ngonyani (Mb) akizungumza na wataalamu wa Teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) hawapo pichani wakati akifungua warsha ya   wataalamu wa teknolojia ya habari na Mawasiliano katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.  

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora akizungumza wakati akimkaribisha Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Mhe. Edwin Ngonyani (Mb) ili kufungua warsha ya  wataalumu wa teknolojia ya habari na Mawasiliano.  

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Mhandisi Samson Mwela akitoa mada   wakati wa warsha  ya wataalamu wa Teknolojia ya habari na Mawasiliano katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere


Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Mhe. Edwin Ngonyani (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa sekta ya mawasiliano   na wataalamu wa teknolojia ya habari na Mawasiliano  Jijini DSM.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni