Ijumaa, 31 Machi 2017

BARAZA LA WAFANYAKAZI SEKTA YA UCHUKUZI LAKUTANA KUPATA TAARIFA YAUTEKELEZAJI WABAJETI 2016/17 NA KUPITISHA MPANGO WA BAJETI 2017/18


Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Sektaya Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho (kushoto)akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa sektahiyo, kilichofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka zaTaifa, Mkoani Dodoma leo.


Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Sekta ya Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho (wa pili kulia) na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa sekta hiyo wakiimba wimbo wa ‘Solidarity’ kabla ya kuanza kikao cha taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2016/17 na mpango wa bajeti kwa mwaka 2017/18,kilichofanyika katikaUkumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka zaTaifa, Mkoani Dodoma leo.


Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa sektaya Uchukuzi wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2016/17 na mpango wa bajeti kwa mwaka 2017/18, kwenye Baraza la Wafanyakazi lililofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Mkoani Dodoma leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni